LUNDENGA ATOA SOMO KWA WASHIRIKI WA REDDS MISS IFM

Mkurugenzi wa kampuni ya LINO Agency ambao ni waandaaji wa Shindano la Redd's Miss Tanzania,Hashim Lundenga (katikati) akizungungumza na warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss IFM juu ya vigezo na taratibu za kumpata mshindi kwenye fainali zinazotarajia kufanyika siku ya Jumamosi kwenye ufukwe wa Beach ya CINE Club jijini Dar.Kushoto ni Muandaaji wa Redd's Miss Highr Leaning na Kulia ni Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania,Bosco Majaliwa
Msanii wa muziki wa Kizazi kipya,Diamond akielezea namna alivyojiandaa kufanya unyesho shoo kubwa kwenye fainali ya Redd's Miss IFM jumamosi hii kwenye Ufukwe wa CINE CLUB,Wengine Pichani ni warembo wa shindano hilo Rosa Damazo (kushoto) na Waliosimama ni Teressia Issaya (kulia) na Caroline Dandu na kushoto ni Mwalimu wa Warembo hao,Ester Willson.

Posted by Bigie on 1:59 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.