MAANDALIZI YA MKUTANO WA AFDB YAENDELEA JIJINI ARUSHA

MWENYEKITI WA KAMATI YA MAANDALIZI YA MKUTANO WA AFDB AMBAO UNATARAJIWA KUFUNGULIWA SIKU YA JUMATATU JIJINI ARUSHA,BW NGOSHA MAGONYA AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI  JUU YA MKUTANO HUO.KATIKA MKUTANO HUO NA WAANDISHI WA HABARI,MWENYEKITI HUYO AMESEMA KUWA MKUTANO HUO UTATUMIA GARAMA YA SHILINGI BILIONI 12 AMBAZO ZITAENDA SANJARI NA UJENZI NA UKARABATI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA MIKUTANO AICC.
BAADHI YA WANAKAMATI WA MKUTANO HUO WAKIJADILIANA MAMBO MBALI MBALI.PICHA NA MERY AYO WA GLOBU YA JAMII,ARUSHA.

Posted by Bigie on 8:06 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.