WAJASILIAMALI 86 walamba zaidi ya milioni 250 arusha

Wajasimali pamoja na wadau wa mpango wa Fanikiwa kibiashara wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kubadhiwa kwa mfano wa hundi yenye jumla kiasi cha zaidi ya milioni 250 ambapo wajasimali hao ndio walioweza kufikia malengo yao chini ya mpango huo ambao upo chini ya sekta binafsi hapa nchini (TPSF),katika hafla fupi iliyofanyika janaJijini Arusha.
Mfano wa hundi ambayo wamepewa wajasiamali hao ambao wapo 86 jijini Arusha.

Posted by Bigie on 8:04 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.