DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU SKENDO YA KUYAANIKA MAKALIO YAKE....


HUU  NDO UTETEZI  WA  DIAMOND  KUHUSU SAKATA LA KUVUA NGUO HADHARANI......

"Watu wengi waliipokea show hii tofauti kabisa  na vile ilivyokuwa imekusudiwa...kipengele cha kuvua Boxer ni kipengele ambacho kilifanyiwa mazoezi kikiwa katika sehemu ya show tuliyokuwa tumeiandaa kuifanya siku hiyo ya Fiesta 2012 na sio kama tulifanya tu bila kukusudia.....

Lakini mashabiki waliipokea show hii tofauti kabisa me naamini ilitokana na ubunifu ambao hawakuwai kuutegemea kwa msanii yeyote yule pia ilikuwa ni surprise kwa mashabiki wangu.....Lakini sio vitu vigeni kabisa ukiangalia hata nje wanafanya show za aina hii tena pengine ni zaidi ya hii."....DIAMOND

Posted by Bigie on 3:35 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.