SKENDO ZASABABISHA AUNT LULU APORWE BWANA


MREMBO aliyetambulika kwa jina la Fatma Mchina ambaye huko nyuma alikuwa aolewe na Tevez amekiri yeye ndiye aliyemnyang’anya bwana Kimwana Manywele 2006, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’.

Akipiga  stori na mpekuzi wetu siku chache baada ya kuripotiwa kwenye gazeti kuwa demu huyo na Aunty Lulu wamegombania pedeshee, Fatma alifunguka kuwa ni kweli amemnyang’anya Aunty bwana’ake lakini akasema na si pedeshee.


“Nilipoachana  na Tevez, nilinasa kwa Bond bin Salim, ni kweli alikuwa mchumba’ake, lakini alikuja kwangu baada ya kuchoshwa na vituko vya Aunty Lulu, sasa namshangaa anataka vita na mimi, anajisumbua tu haniwezi kwa lolote,” alisema Fatma.

Posted by Bigie on 1:56 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.