Picha 7 za wale watanzania waliokamatwa wakifanya mazoezi ya kijeshi kwa kutumia CD za Al Shabaab....Hapa walikuwa mahakamani

Hawa  ni  vijana  wa  kitanzania 11  ambao  walikamatwa  na  jeshi la polisi   Mtwara baada ya  kupata taarifa kwamba  walikua wakifanya mazoezi ya kivita kwa kutumia CD za  Al...

Chama cha wafanyakazi wa Serikali Chatangaza KUMSHITAKI Zitto Kabwe kwa kuutaja mshahara wa Rais hadharani

HATUA ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kutaja hadharani mshahara wa Rais na Waziri Mkuu, imechukua sura mpya baada ya Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na...

Mayasa awashangaa wanaodai kuwa ameolewa.....Asema yeye yupo Single na hahitaji ndoa kwa sasa maana bado ni mdogo sana

Msanii  wa  kike  wa filamu Bongo, Mayasa Mrisho ( Maya ) amefunguka kuwa wale waliozusha kuwa amechumbiwa ni  wanafiki  na watasubiri sana   mpaka  wazeeke  kwani suala la ndoa...

Mlimani City YASITISHA ukaguzi wa Magari na watu kwa madai kwamba unapunguza wateja

Siku chache baada ya kuanzisha ukaguzi wa magari na watu wanaoingia katika maduka ya Mlimani City, ukaguzi huo sasa umesitishwa.   Hatua hiyo ilifuatia tishio la ugaidi baada ya...

Rais Kikwete awahimiza wanaume kujitokeza Kutahiriwa ( tohara ) ili kukabiliana na maambukizi ya UKIMWI

RAIS Jakaya Kikwete amewataka wanaume kuendelea kujitokeza kwa wingi kupata tohara, kama moja ya njia za kukabiliana na Ukimwi unaoendelea kuua watu wengi. Akisalimia wananchi katika Kijiji cha Kipengele...

Hii ni Video ya ripoti ya Mauaji ya Westgate iliyoua watu 69 ikiletwa kwako na Mpekuzi Mohammed All wa Jicho Pevu-KTN..Walichokifanya wanajeshi wa Kenya ni AIBU tupu

Zimekuwa ni siku nyingi za kubashiri  kuhusu kilichojiri wakati wakenya walipotekwa  nyara na magaidi kwa siku nne mtawalia.Wakenya zaidi ya sitini walipoteza maisha yao katika jumba la Westgate...

Mpira umekwisha: Yanga 3, Simba 3

Pambalo  la  yanga  na  Simba  limekwisha  kwa  sare  ya  3:3Majumuisho:Dk 90+5 FULL TIME! Simba 3-3 Yanga Dk 83 .. Gilbert Kaze anaipatia Simba bao la tatu akiunganisha krosi...

Mpira umezidi Kukolea: dakika ya 83 simba wanajipatia bao la 3

 Ni  dakika  ya  83, Mpira umebadilika na Simba sasa wanatawala mchezo. Mpaka  sasa  timu  zote  ziko  sare  ya  mabao  matatu  matatu.Simba: 3   Yanga:  3  ...

Ni kipindi cha pili Simba 2, Yanga 3

Mchuano   ni mkali  sana  kati  ya  Simba  na  Yanga.Hivi  sasa  ni  dakika  ya  34  kipindi cha pili kinaendelea ....    Simba 2   Yanga 3...Nani  ATAPAKATWA?...Yetu  macho ...

UPDATE:Julius Nyaisanga (Mtangazaji wa zamani Radio One na Mkurugenzi wa Abood Media) afariki dunia

Aliyekua mkurugenzi wa Abood media bwana Julius nyaisanga,amefariki dunia huko Morogoro katika hospitali ya Mazimbu...   Marehemu aliwahi pia kufanya kazi katika kituo cha Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD)...

Wema Sepetu afunguka na kudai kwamba yeye hampendi DIAMOND bali anapenda PESA zake.

Baada  ya  wadau  na  mashabiki  wake  kuubariki  uhusiano  wake  na  Diamond   huku  wakimponda  Penny  na  kudai   amezeeka  na  kwamba  hamfai Diamond, mrembo  huyo  ameamua  kuwajibu  mashabiki  hao  kwa ...

Lulu Michael afunga na kuomba kwa ajili ya hukumu ya Babu Seya ambayo itasikilizwa tena tarehe 30 mwezi huu

 Haya ni maneno ya mwanadada Elizabeth Michael (LULU) aliyoyaandika mtandaoni  akiwaombea kheri Mzee Nguza na mwanawe Papii Kocha wanaosubiria kusikilizwa upya  kwa  kesi  yao  iliyowafanya  wafungwe  kifungo  cha ...

CCM wamsaliti Kikwete....Wadai kwamba wako tayari bunge livunjwe na uchaguzi ufanyike kabla ya 2015 lakini siyo kufanya marekebisho ya WAPINZANI

HOFU kubwa imetanda ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), juu ya upatikanaji wa katiba mpya, hasa baada ya Rais Jakaya Kikwete kusaini muswada ambao sasa ni...

Leo ni kiama uwanja wa taifa jijini Dar...Nani ATAMPAKATA mwenzake?...Yanga au Simba???

Watani wa jadi nchini Simba na Yanga leo jioni wanashuka katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kupambana katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara,...

Mama mwenye UKIMWI amchukua mtoto wa jirani na kumnyonyesha maziwa yake....Serikali yamkamata na kumfunga miaka miwili jela

MWANAMKE   mmoja raia wa Zimbabwe aliyenyonyesha mtoto wa jirani bila ruhusa anakabiliwa na kifungo cha karibu miaka miwili kwa kumwambukiza mtu  HIV kwa  kukusudia kwa  kuwa  yeye  ni ...

Rais Kikwete asimikwa uchifu wa kabila la Wabena mkoani Njombe

 Rais Jakaya Kikwete akipokea Mkuki wakati akisimikwa Uchifu wa Kabila la Wabena na mmoja wa wawakilishi wa Wazee wa Kabila hilo,kwenye wa Hafla ya Uzinduzi wa Mkoa wa Mpya...

Rais Kikwete azindua kiwanda cha Chai mkoani Njombe

Rais Jakaya Kikwete akifunua kitambaa kwenye jiwe la msingi wakati akizindua kiwanda kipya cha chai cha Ikanga, Njombe, ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi rasmi wa mkoa...

Taarifa ya lile jambazi la kike lililopigwa kichwa na mteja wakati likijaribu kupora duka la M-pesa kwa bastola

Jaribio la kupora fedha katika kituo cha M-Pesa lililofanywa na Anita Kaburu (27),  pamoja na mwenzake wakitumia bastola na bunduki, lilishindikana baada ya mteja mmoja kumpiga kichwa na...

Kanisa lagoma kumzika yule mwanaume aliyempiga risasi Mtangazaji wa ITV (Ufoo Saro )....Ladai kifo chake kina UTATA.

 Familia ya Anthery Mushi, aliyejiua kwa kujipiga risasi Jumapili iliyopita baada ya kumuua kwa risasi mkwewe, Anastazia Saro, amezikwa bila huduma ya kikanisa kijijini kwao Ongoma. Kanisa Katoliki, Parokia...

Zitto Kabwe adai kwamba yupo tayari CHADEMA na CCM wamnyonge lakini Ruzuku hawatapata mpaka wakaguliwe. Bofya hapa umsikilize

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe akitoa ufafanuzi juu ya taarifa yake ya mahesabu ya vyama 9 vya siasa ambavyo...

Serikali yatangaza kuanza kutumia Ndege za kivita zisizo na marubani ili kutokomeza Majangili

 TATIZO la ujangili ambalo limekuwa sugu nchini kwa muda mrefu sasa linaanza kupata dawa, baada ya Serikali kutangaza ‘Operesheni Tokomeza’ itakayotumia mbinu za kijeshi.Katika operesheni hiyo inayotekelezwa kwa...

Wanasayansi watabiri kuwa Mwisho wa dunia huenda ukawa tarehe 26/8/ 2032.....Bofya hapa

Dunia tunayoishi, inaweza kufikia mwisho wake August 26, 2032. Kwa mujibu wa wanajimu wa Ukraine, kimondo chenye upana wa futi 1,300 kinakuja kwa uelekeo wa duniani na kinaweza...

Mnenguaji wa Mashujaa Band (Nyamwela Jr ) atiwa mbaroni kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume wa miaka 6

MNENGUAJI wa kiume wa Mashujaa Band, Juma Nyamwela (Nyamwela Jr) amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kiume wa umri wa miaka sita.Kwa sasa mnenguaji huyo...

CHADEMA yamwaga nyaraka za siri kumjibu Zitto Kabwe...Yawataka Msajili wa vyama na CAG wawajibike

Hii ni taarifa  ya  Chadema:Kutokana na taarifa zilizotolewa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya hesabu za Serikali kuwa vyama vya siasa ambavyo vinapata ruzuku kutoka serikalini havijawasilisha...

Jinsi ya kupata Mimba kwa kutumia nguvu za giza (Mitishamba )

Kabla  ya  ujio  wa  wakoloni, babu  zetu  walikuwa  wakiabudu  miungu  yao.Hakukuwa  na  dini  wala  tiba  za  kisasa.Kwa  kuwa  IMANI  huponya, ni  ukweli  usiopingika  kwamba  maombi  yao  na  tiba ...

Breaking news

.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.