Uganda yaongoza orodha ya nchi zinazoridhika zaidi kimapenzi

Uganda imeongoza orodha ya nchi duniani ambazo wananchi wake wanaridhika zaidi kimapenzi. Utafiti huo ulifanywa na kampuni inayotengeneza condom, Durex na kuhusisha watu 26,000 kuanzia miaka 16 katika...

Wafuasi wa UKAWA Wavamia Msafara wa Magufuli Jijini Arusha Huku Wakiimba Lowassa!!!.....Lowassa!!........Mabomu Yarindima, 6 Watiwa Mbaroni

Mgombea  Urais  wa  Chama  cha  Mapinduzi  (CCM)  yuko  jijini  Arusha  ambapo  jioni  yupo  katikati  ya  jijini hilo  ndani  ya  uwanja  wa  Sheikh Amir Abeid,  akinadi  sera  za  chama ...

Breaking News: Mch. Christopher Mtikila afariki kwa ajali ya gari mkoani Pwani

Mwenyekiti wa chama cha siasa (Democratic Party - DP) nchini Tanzania, Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia alfajiri ya leo katika ajali ya gari iliyotokea kwenye kijiji cha Msola...

Faiza Ally awashukia wanaomkashfu Wema Sepetu na Mhe. Lowassa

Mwanamitindo nchini Tanzania, Faiza Allly, ameonesha kuguswa na maneno ya kejeli wanayorushiwa Wema Sepetu na mgombea urais kwa kivuli cha UKAWA, Edward Lowassa na kuwataka watu hao kuuvaa...

Magazetini Leo Ijumaa ya Tarehe 02 October 2015

...

Lowassa: Nataka kura milioni 14

MGOMBEA urais aliyeteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa ametangaza rasmi kuwa ana shida ya kura milioni 14...

Lowassa Aweka Wazi Atakakozipata Fedha Za Elimu Bure Hadi Chuo Kikuu.

“Usiniulize hela nitapata wapi? Za kutoa elimu bure Tanzania pesa nyingi zipo serikalini.   Kama waliopo madarakani sasa wana uwezo wa kuwanunulia wanawake na ndugu zao nyumba za...

MAFURIKO: Picha 40 za Mikutano yote ya Lowassa Leo Jijini Dar es Salaam

Mgombe Urais wa CHADEMA Mhe. Edward Lowassa akiwa na Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo Saed Kubenea ...

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja  na Mara.   Akizungumza na Waandishi wa Habari...

Membe: Nikiwa Rais Wasanii Wataenda Kujifunza Nje

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema kama atachaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha anasimamia...

Mama Amchoma Mikono Mwanae kwa Madai ya Kuiba Ugali

Stamili Mponzi mkazi wa kijiji cha Ikule wilayani Kilombero, mkoani Morogoro anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumchoma mwanae na kumjeruhi mikono kwa madai ya kuiba ugali.  ...

Dina Marious wa Clouds FM Aamua Kufunguka..Kumbe Amewekwa Benchi Kutangaza..

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Mtangazaji Dina Marious Amefunga Mengi kuhusa hali yake na nini kinaendelea kwenye Ajira yake baada ya muda mrefu kuwa kimya: Ameandika Haya: 'Katika...

JK aaga Watanzania ughaibuni

RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kuaga Watanzania kila anapopata fursa ya kukutana nao, huku mafanikio ya miaka kumi ya uongozi wake yakijidhihirisha katika maeneo mbalimbali, ikiwemo katika Bunge la...

Photos: Who Rocked It Better - Agnes Masogange or Linah Sanga?

Both are celebs, gorgeous and fashionistaz, they also donned almost the same shirt, but who looks best in it according to you..? ...

Breaking news

.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.