Mwanafunzi Ajipiga Mtupu kumuunga mkono Wema wa Uganda ( Brenda Nambi)
Posted by Bigie udaku 9:53 PMJana tuliweka Picha za Wema Sepetu wa Uganda( Brenda Nambi) ambazo ni gumzo nchini humo.Baada ya staa huyo kujifotoa akiwa mtupu, Mashabaki zake nao wameamua kumuunga mkono kwa kujipiga wakiwa watupu, na kwa kuanzia ni huyu mwanafunzi aliyetambulika kwa jina la Melanie toka Rainbow Internationa...
Natafuta Dancers Wa Kike Kwa Muda Mrefu Ila Bado Kupata Wenye Viwango Vya Kimataifa: Diamond Platnumz.
Posted by Bigie burudani 9:25 PMLicha ya kuonekana na madansa wa kike katika jukwaa la Fiesta 2014 Mwanza, Diamond anasema hajabahatika kumpata dansa wa kike mwenye vigezo anavyovitaka.
“Sina madansa wa kike pale wawili ni wa Vanessa naweza sema wote si
wangu, zamani nilikuwa na madansa wa kike, lakini kwa sasa Tanzania tuna
upungufu kwenye muziki wa Bongo Fleva na muziki wa bendi kuna madansa
ambao wamebobea kucheza muziki wa dansi pekee. Nilitamani kuwa na
madansa wa kike zamani lakini ilishindikana maana kuwapata ni ngumu
sana,” anasema na kuongeza:
“Mpaka sasa bado natafuta madansa wa kike sijawapata, nahitaji dansa wa
kike ambaye anajua, awe anajiamini afuatilie madansa wa nje wanachezaje,
awe na unyamwezi kidogo ni ngumu sana, awe mbunifu afuatilie muziki wa
nje na vitu kama hivyo. Kwa hiyo nikatamani nifanyaje nikaamua kuazima
madansa wa watu nifanye nao shoo,” anasema.
Akiwazungumzia madansa wake wa kiume ambao ni sita, Diamond anasema ni
madansa wanaolipwa pesa ndefu ukilinganisha na madansa wote Afrika
Mashariki.
"Siwezi kusema nawalipa kiasi gani itakuwa kama nawavua nguo, lakini
hakuna madansa wanaolipwa vizuri kama wangu Afrika Mashariki, ikiwa bei
inaongezeka na mimi nawaongeza katika malipo yao. Wako sita kwa kweli
nimetoka nao mbali tangu ‘Kamwambie’ mwaka 2009, nimekua nao kifikra,
kiumri na kiakili na kuona kwamba hawa ni mzigo wangu mimi na wanafanya
kazi pamoja na mimi, wale ni mafanikio yangu wana msaada mkubwa sana
pengine nisingekuwa hapa bila wao,” anasema.
Hata hivyo, anaweka wazi kwamba linapofika suala la shoo za nje, huwa
inategemea ni wapi kwani shoo zingine hairuhusiwi kwenda na madansa wote
hivyo huwa anawabadilisha kwa zamu.
Katika mahojiano hayo maalum na Mwananchi, superstar huyo alisema kuwa kwasasa muziki wa Bongofleva unakubalika nje ya nchi tofauti na zamani.
Shilole Amfanyia MAHABA NIUE Nuh Mziwanda...Mcheki akiwa ndani ya Bikini, Paja lote nje
Posted by Bigie udaku 9:18 PMWema Sepetu wa Uganda aumbuka baada ya picha zake za utupu kuvuja
Posted by Bigie udaku 7:25 AMLeo nilikuwa Uganda na ninaomba nikupekulie nilichokutana nacho huko....
Katika pita pita zangu nimekutana na picha za utupu za msanii maarufu nchini humo Brenda Nambi ambazo kwa Uganda ndo habari ya mjini kwa sasa.....
Brenda kwa Bongo ni kama Madam Wema Sepetu, nadhani unaweza pata picha sasa!
<<PICHA YA KWANZA>>
<<PICHA YA PILI>>
<<PICHA YA KWANZA>>
<<PICHA YA PILI>>
Napenda Kuwa Maarufu Kama Kina Wema Sepetu, Mwili Mzuri Ninao Nifanyaje?
Posted by Bigie udaku 7:01 AMUmbeya Mbaya: Picha za uchi za mrembo zaanikwa baada ya kutaka kumharibia kwa demu wake mpya!
Posted by Bigie udaku 6:25 AMHuyu dada alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Farouq ambaye ni mpenzi wa yule dada mrembo na tajiri nchini Uganda maarufu kwa jina la Zari.....
Baada ya kutemwa, mwanadada huyu ( Ruth kasule) akaamua kumtafuta Zari na kumweleza kuwa amewahi kuwa kimapenzi na jamaa yake ili kumharibia...
Baada ya jamaa kupewa taarifa, alichokifanya ni kuzianika picha zake za utupu alizokuwa amemfota wakati wakidate naye.
<<PICHA YA KWANZA>>
<< PICHA YA PILI>>
<<PICHA YA KWANZA>>
<< PICHA YA PILI>>
Rihanna ajianika mtupu katika jarida la GQ
Posted by Bigie udaku 6:09 AMKuvaa Shanga Miguu au Vikuku Kwa Mwanamke Kuna Maana Yoyote Mbaya?
Posted by Bigie udaku 6:01 AM
Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu urembo
huu wa kuvaa cheni za miguuni. Wengi wamekuwa wakisema kuwa cheni hizo
zinamaanisha kwamba mvaaji anaonyesha kwamba yeye anaweza mapenzi ya
kinyume na maumbile, au analika pande zote tetesi hizi zimeleta
mchanganyiko kidogo kwenye urembo huu.
Watu wengine wamediriki hata kukataza kabisa wapenzi wao wasivae urembo huo, mimi binafsi siwezi kuongozana na mtu amevaa kitu kama hicho. Haya sasa kazi kwako mdau, wewe unaonaje ni sawa urembo huo kutumika, na je mwenza wako akivaa urembo huo, utaafiki?
Miley Cyrus Atupia picha yake ya uchi
Posted by Bigie udaku 5:52 AMWadada Tuweni Makini Sana na Vyumba vya Kujaribia Nguo Madukani, Huyu Alipigwa Picha Bila Kujua Akijaribu Nguo
Posted by Bigie udaku 5:43 AMVIDEO: Tako "feki" la Nicki Minaj lahama wakati anaperform !!!
Posted by Bigie udaku 5:35 AMTokea nicki minaj aanze kujulikana kwenye tasnia hii ya muziki , ni wazi kwamba minaj anamtindo wa kufanya plastic surgery kwenye mwili wake kama hauamini jaribu ku-google picha zake za zamani.
Taarifa ni kwamba Nicki Minaj anasumbuliwa na maumivu kwenye tako lake
baada ya tako hilo kuhama upande wakati akiperform kwenye Fashion Rocks
siku ya jumanne usiku. Mtandao wa MediaTakeOut umeripoti..
Taarifa zinasema Minaj alijiumiza wakati akijaribu kujibinua. Watu walisikia kelele kwa wakati huo na wengi wao walizani limepasuka sababu tako hilo ni feki.
Tazama video
Taarifa zinasema Minaj alijiumiza wakati akijaribu kujibinua. Watu walisikia kelele kwa wakati huo na wengi wao walizani limepasuka sababu tako hilo ni feki.
Tazama video
Utajuaje Kuwa Mwanamke Ana Fake Ama Unamfikisha Wakati wa Mechi ya Raha Tupu ?
Posted by Bigie udaku 5:28 AMHaya jamani katika pitapita zangu kwenye Mitandao yetu ya mawasiliano nimekutana na Posti hii, Imenivutia na nimeona Si mbaya kuwagawia wadau wangu .Angalizo: Nimeikopi kama nilivyoikuta.
DALILI ZA MWANAMKE ANAE FOJI KILIO
WAKATI WA RAHA TUPU ILI AKUTEKE KIHISIA
ILI UJUE NAWEWE WAMO KUMBE HAUMO..
1.Analia mfulululizo kama kinanda cha
parokia bila kubadili key wala Tyun.
2.Anaaongea english nyingi za kwenye move
za series
3.Anarudia maneno yale yale kuanzia dakika
ya kwanza hadi ya 90 kama script ya bongo
move
4.Mtu analia kama Suzuki inapanda mlima na
namba
5. Kinanda si Kinanda Gitaa si gitaa mlio
haubadiliki..FEKI
6,.Anafoji Orgasm za kiingereza kama
alizomuona OLIVIA POPE akilia kwenye
Scandal akiwa anamegwa na President,mtu
analia vitu vya hatari,Ohh yeah bless me with
it,dig it deeper,Touch my Soul like that,Oh
babe be my Vampire take all the Blood,Hit me
and leave me breathless...Yaani utamu
umenoga utakumbuka kuhusu kuunga
Present continuous Tense kweli hadi
kipatikane kilio??FEKI HUYO..
7.Ukiacha Wachaga ambao wao kilio chao ni
Automatic kama AC za gesti mtu analia kwa
Script,Analia Oh yeah mara 2,Ohh Yes mara
3..halafu Oh yeah mara 2 tena,halafu
Pozi..Mara anauliza where have u been
jamani...NILIKUWA KWETU!...Heri Wachaga
hatuwalaumu,maana wao dude likipita
penyewe ni mwendo wa Kiruuuu
Yeuwiii..Yesu wangu Nini hiyo
umeingiza...Baba Klaree Puliza
.
Featured Post
NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne ambayo ni Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...


















