BUBU Afanyiwa Unyama wa Kutisha......Wanaume Watano Wamteka na Kumbaka kwa Zamu

MKAZI wa kitongoji cha Chingale, kijiji cha Mtakuja kata ya Temeke katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara ambaye ni bubu, Asumini Fakihi amebakwa na watu watano...

Hausiboi Aliyelawiti Mtoto wa Miaka 6 Ahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela

Mfanyakazi wa nyumbani, Hatibu Adamu (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa miaka sita.   Akitoa hukumu hiyo,...

Matokeo Mabaya ya CCM Singida: Nyalandu Abebeshwa Zigo la Lawama

BARAZA a Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Singida Vijijini, limemshutumu mbunge wao, Lazaro Nyalandu kwa kusababisha chama hicho kukosa ushindi mnono kwenye baadhi ya maeneo...

BAKWATA Yasisitiza kuwa Maamuzi ya Rais Kikwete kuhusu Sakata la Escrow Yaheshimiwe

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania kuheshimu uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete na mamlaka zinazohusika kuhusu suala la akaunti ya Tegeta Escrow.   Kauli hiyo imetolewa...

Watu Wawili Watiwa Mbaroni kwa kukutwa na Meno ya Tembo

WATU wawili wametiwa mbaroni na Polisi mjini Mpanda kwa kukutwa na meno ya tembo waliokamatwa yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 157 ndani ya basi la Adventure....

Waliohujumu CHADEMA Watimuliwa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewatimua wanachama wake 42 wakiwemo wagombea walioshindwa kupita kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni.   Kwa mujibu wa taarifa...

Polisi Achomwa Mkuki Ubavuni

POLISI wa kituo cha Kinesi wilayani Rorya mkoani Mara, Konstebo Deogratius amejeruhiwa kwa kuchomwa mkuki ubavuni.   Alichomwa mkuki wakati akiwa na wenzake walipokuwa wakipambana kujaribu kuwaondoa zaidi...

Patcho Mwamba Akanusha Kufumaniwa na Mke wa Mtu

Mwigizaji na mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia, Patcho Mwamba amekanusha vikali taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa amefumaniwa akiwa na mke wa mtu na kupokea kipigo....

Polisi yaunda timu kuchunguza tukio la bomu Songea

Jeshi la polisi limeunda timu ya makachero kutoka makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es salaam  wakishirikiana na wa mkoa wa Ruvuma kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio...

12 wakamatwa Kagera kwa kuhusika na mauaji

Jeshi la polisi mkoani Kagera linawashikilia watu 12 wanaotuhumiwa kujihusisha katika matukio mbalimbali ya mauaji yakiwemo ya kukatakata watu kwa mapanga ambao wamekuwa wakikodiwa na wahalifu kwaajili ya...

Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wazee wa Dodoma 4 Novemba 2014

Ndugu Wananchi; Nakushukuru sana Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Dodoma, Mheshimiwa Balozi Job Lusinde kwa kuandaa mkutano huu. Wakati nilipofanya ziara ya Mkoa wa Dodoma tulipanga tukutane...

Wanawake Acheni Vigenge Vya Umbeya Na Kuwa Magolikipa Kwa Wanaume: Happy Nyatawe

Muigizaji maarufu wa filamu nchini Happy Nyatawe ambaye pia ni mfanyabiashara amewaasa wanawake wenzake kuacha kuwa magolikipa kwa wanaume na pia kuacha umbeya na badala yake wajikite katika...

Hamisa Mobeto Awavulia Nguo Mashabiki wake wa Instagram

Hamisa Mobeto fronted up to her instagram fans when she posted a photo while topless in a hot rhinestone silver shining bra and a matching tight skirt.. to...

Huddah Monroe Azindua Vazi lake jipya Akiwa Uchi wa Mnyama!

Msanii  maarufu  wa  Kenya, Huddah  Monroe  amezindua  vazi  lake  jipya  kwa  staili  ya  kipekee  na  ya  aina  yake.....   Katika  uzinduzi  huo, mrembo  huyo  ameamua  kujianika  hadharani  akiwa ...

Mkanda wa ngono wa Iggy Azalea na ex wake unaweza kuuza kuliko ule wa Kim K na Ray J

Mmiliki wa mtandao wa ngono wa Vivid, Steve Hirsh amesema mkanda wa ngono wa rapper Iggy Azalea unaweza ukauza kuliko ule wa Kim Kardashian na Ray J. Rapper...

Video: Magaidi wa ISIS Wamchinja na kumkata Kichwa Mateka Mwingine Raia wa Uingereza

Taarifa zilizopatikana hivi punde zinaeleza kwamba kikundi cha kigaidi cha Dola ya Kiislamu (ISIS) kimemchinja kwa kumkata kichwa, David Haines, Mwingereza mfanyakazi wa shirika la misaada, kwa mujibu...

Breaking news

.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.