Posted by Bigie
news
6:45 PM

MKAZI wa kitongoji cha Chingale, kijiji cha Mtakuja kata ya Temeke katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara ambaye ni bubu, Asumini Fakihi amebakwa na watu watano...
Posted by Bigie
news
6:30 PM

Mfanyakazi wa nyumbani, Hatibu Adamu (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa miaka sita. Akitoa hukumu hiyo,...
Posted by Bigie
news,
politics
6:24 PM

BARAZA a Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Singida Vijijini, limemshutumu mbunge wao, Lazaro Nyalandu kwa kusababisha chama hicho kukosa ushindi mnono kwenye baadhi ya maeneo...
Posted by Bigie
news
6:15 PM

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania kuheshimu uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete na mamlaka zinazohusika kuhusu suala la akaunti ya Tegeta Escrow. Kauli hiyo imetolewa...
Posted by Bigie
news
6:07 PM

WATU wawili wametiwa mbaroni na Polisi mjini Mpanda kwa kukutwa na meno ya tembo waliokamatwa yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 157 ndani ya basi la Adventure....
Posted by Bigie
news
6:01 PM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewatimua wanachama wake 42 wakiwemo wagombea walioshindwa kupita kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa...
Posted by Bigie
news
5:56 PM

POLISI wa kituo cha Kinesi wilayani Rorya mkoani Mara, Konstebo Deogratius amejeruhiwa kwa kuchomwa mkuki ubavuni. Alichomwa mkuki wakati akiwa na wenzake walipokuwa wakipambana kujaribu kuwaondoa zaidi...
Posted by Bigie
news
5:26 PM

Mwigizaji na mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia, Patcho Mwamba amekanusha vikali taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa amefumaniwa akiwa na mke wa mtu na kupokea kipigo....
Posted by Bigie
news
5:18 PM

Jeshi la polisi limeunda timu ya makachero kutoka makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es salaam wakishirikiana na wa mkoa wa Ruvuma kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio...
Posted by Bigie
news
5:13 PM

Jeshi la polisi mkoani Kagera linawashikilia watu 12 wanaotuhumiwa kujihusisha katika matukio mbalimbali ya mauaji yakiwemo ya kukatakata watu kwa mapanga ambao wamekuwa wakikodiwa na wahalifu kwaajili ya...
Posted by Bigie
siasa
9:17 PM

Ndugu Wananchi; Nakushukuru sana Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Dodoma, Mheshimiwa Balozi Job Lusinde kwa kuandaa mkutano huu. Wakati nilipofanya ziara ya Mkoa wa Dodoma tulipanga tukutane...
Posted by Bigie
Happy Nyatawe,
udaku
5:38 AM

Muigizaji maarufu wa filamu nchini Happy Nyatawe ambaye pia ni mfanyabiashara amewaasa wanawake wenzake kuacha kuwa magolikipa kwa wanaume na pia kuacha umbeya na badala yake wajikite katika...
Posted by Bigie
hamisa mobeto,
udaku
5:19 AM

Hamisa Mobeto fronted up to her instagram fans when she posted a photo while topless in a hot rhinestone silver shining bra and a matching tight skirt.. to...
Posted by Bigie
udaku
4:59 AM

Msanii maarufu wa Kenya, Huddah Monroe amezindua vazi lake jipya kwa staili ya kipekee na ya aina yake..... Katika uzinduzi huo, mrembo huyo ameamua kujianika hadharani akiwa ...
Posted by Bigie
udaku
11:18 PM

Mmiliki wa mtandao wa ngono wa Vivid, Steve Hirsh amesema mkanda wa ngono wa rapper Iggy Azalea unaweza ukauza kuliko ule wa Kim Kardashian na Ray J. Rapper...
Posted by Bigie
news
10:42 PM

Taarifa zilizopatikana hivi punde zinaeleza kwamba kikundi cha kigaidi cha Dola ya Kiislamu (ISIS) kimemchinja kwa kumkata kichwa, David Haines, Mwingereza mfanyakazi wa shirika la misaada, kwa mujibu...